iqna

IQNA

akbar ul quraa
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /9
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mustafa Ismail anajulikana kama Akbar ul-Qurra (qarii mkubwa zaidi) kwa sababu aliathiri sana mtindo na usomaji wa wasomaji Qur'ani waliokuja baada yake.
Habari ID: 3476063    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09